RC MAKALLA APOKEA RANGI KWAAJILI YA KUPENDEZESHA DAR ES SALAAM
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla amepokea msaada wa Makopo 134 ya Rangi za Coral Paint kutoka kampuni ya Insignia Ltd kwaajili ya Kupendezesha Mandahari ya Jiji la Dar es salaam.
Akipokea Rangi hizo RC Makalla amezigawa kwa Wakurugenzi wa Manispaa za Jiji hilo kwaajili ya Kupaka kwenye Vyuma na Minyororo iliyowekwa pembezoni mwa Barabara za Jiji hilo.
Aidha RC Makalla ameishukuru kampuni ya Coral Paint kwa kushirikiana na Serikali kwenye mkakati wa kusafisha na Kupendezesha Mandahari ya Jiji la Dar es salaam.
Kwa upande wake Meneja Masoko wa Kampuni hiyo Adam Kefa amesema kampuni hiyo itaendelea kushirikiana na Serikali ya Mkoa huo Kupendezesha Mandahari ya Jiji Hilo ili kutimiza maono ya RC Makalla ya kuboresha Mandahari ya Jiji.
- Published in Events
Galaxy Diplomatic Golf Tourmament
What a great honor being part of change through giving in the society
Galaxy paints had the privilage to sponsor on the 3rd Diplomatic golf tournament that took place at Arusha on the 26th of September.
With the aim of assisting children living in harsh condition in parts of the regions.
Through Songea Missisipi foundation.
- Published in Events
NBC Marathon Sponsorship
Coral paints took part in this years NBC marathon sponsorship,to raise fund for the cause to fight against cervical cancer, Cervical cancer is a dangerous form of cancer affecting women,where as 85% of death rate occurs in the country.
Thus why Coral paints took part on these marathon, with the main aim of reducing the number of death caused by this form of cancer.
- Published in Events